Advertisement

      Thursday, March 8, 2018

      Tumaini Jipya chachu ya maendeleo Arusha DC

      Na. Elinipa Lupembe.  Shirika lisilo la kiserikali la Tumaini Jipya lenye makazi yake kata ya Olkokola halmashauri ya Arusha limeonesha kuridhishwa  na utekelezaji wa shughuli za kuwahudumia wananchi  zinazofanya na...

      Tuesday, March 6, 2018

      Wananchi wanaotumia barabara ya Mianzini -Timbolo wakiri kuanza kuyaona maendeleo nyumbani kwao

      Na. Elinipa Lupembe.     Wananchi wanaotumia  barabara ya  Mianzi - Timbolo iliyotengenezwa kwa kiwango cha lami wamekiri kuanza kuyaona maendeleo nyumbani kwao kwa kunufaika na barabara hiyo  ingawa imetengenezwa...

      Monday, March 5, 2018

      Jamii imetakiwa kutunza miundo mbinu ya maji inayotengenezwa kwa gharama kubwa

      Na. Elinipa Lupembe. Jamii imetakiwa kushiriki kwa hali na mali kutunza rasilimali maji pamoja na kusimamia miundo mbinu ya maji inayojengwa kwenye maeneo yao kwa kuwa inajengwa kwa gharama kubwa...

      Wednesday, February 21, 2018

      Wanawake waaswa kutumia fedha za mikopo kwa malengo waliyoyakusudia

      Na. Elinipa Lupembe. Wanawake wajasiriamali halmashauri ya Arusha wilayani Arumeru, wameaswa kutumia fedha za mkopo walizopewa kwa malengo waliyoyakusudia wakati wa kuomba mkopo ili kuwarahisishia urejeshaji wa fedha walizokopa.   ...

      Tuesday, February 20, 2018

      Wananchi Arusha DC watakiwa kutambua umuhimu wa kulipa kodi na ushuru elekezi

      Wananchi wakazi wa halmashauri ya Arusha wametakiwa kutambua umuhimu wa kulipa ushuru na kodi mbalimbali elekezi na kufahamu kuwa mapato hayo hutumika  kwenye shughuli za maendeleo katika maeneo yao na...

      Page 1 of 66123»

      Matangazo

      Matangazo
      Loading...