Saturday, December 23, 2017

Mkurugenzi Arusha Dc anawatakia wananchi wote Heri ya Sikukuu ya Krismas na Mwaka mpya 2018


Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Arusha wilayani Arumeru  Dkt. Wilson Mahera Charles anawatakia wananchi wote na wakazi wa Halmashauri yake heri ya Sikukuu ya Krismas na Mwaka mpya wa 2018.

Aidha Dkt. Mahera amewataka wananchi wote kuwa watulivu katika kipindi chote cha sikukuu hizo na kuwasihi kusheherekea  kwa amani na utulivu.

Ameongeza kwa kuwakumbusha wazazi na walezi kuwa makini katika uangalizi wa  watoto na kuacha tabia ya kuwaruhusu watoto kwenda kutembea peke yao bila uangalizi wa watu wazima.

No comments:
Write comments

Matangazo

Matangazo