Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imetoa mwongozo na vigezo vya utoaji mikopo na ruzuku kwa wanafunzi watakaojiunga na vyuo vikuu mwaka wa masomo 2017/2018 na tayari imeanza kupokea maombi ya mikopo kuanzia tarehe 6 Agosti 2017 hadi tarehe 4 Septemba, 2017.
Wanafunzi wanaoomba mikopo wanasisitizwa kusoma mwongozo wa utoaji mikopo na ruzuku kwa mwaka wa masomo 2017/2018 pamoja na taratibu nyingine za uombaji mkopo kabla ya kujaza fomu za maombi ya mkopo zinazopatikana kwenye mtandao wa https://olas.heslb.go.tz
Sifa za msingi za mwombaji wa mkopo ni kama zinavyosomeka hapo chini;
No comments:
Write comments