Sunday, July 9, 2017

Zimbabwe bingwa COSAFA 2017








Timu ya Taifa ya Soka ya Zimbabwe imetwaa ubingwa wa mashindano ya COSAFA2017 baada ya kuifunga Timu ya Taifa Zambia mabao 3-1.

Magoli ya Zimbabwe yalitiwa wavuni na  22' K. Mutizwa, 57' T. Chawapiwa pamoja na 67' O. Mushure
Huku goli moja la Zambia kifungwa na 39' L. Mundia.


No comments:
Write comments

Matangazo

Matangazo
Loading...