Maadhimisho hayo yataambatana na Upimaji wa virusi vya UKIMWI na utoaji Ushauri Nasaha pamoja Uchangiaji wa MFUKO WA KUDHIBITI UKIMWI.
Kauli Mbiu ya siku ya UKIMWI DUNIANI:
"CHANGIA MFUKO WA UDHAMINI WA KUDHIBITI UKIMWI NCHINI UOKOE MAISHA"
Wananchi wanatakiwa kuchangia kupitia Simu zao za mkononi kupitia namba 0684 909090.
No comments:
Write comments