Monday, August 14, 2017

Rais wa Misri awasili nchini

Rais wa 

IKULU: Rais wa Misri, Abdel Fattah El-Sisi amewasili hapa nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili na kupokelewa na mwenyeji wake, Rais Dkt. John Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

No comments:
Write comments

Matangazo

Matangazo